Advertisements

Friday, June 23, 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 54, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JUNI 23, 2017.

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Azzan Zungu  akiongoza kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji  akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Naibu Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Mhe.Eng Stella Manyanya akijibu maswali mbalimbali ya wabunge  katika kikao cha hamsini na nne  cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama  akijadili jambo na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dk Ashatu Kijaji  katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof Jumanne Maghembe akiteta jambo na Mbunge wa Viti Maalum Bi Martha Mlata   katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 22, 2017.
 Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi  wakifuatilia jambo na Mbunge wa Nkasi kaskazini Mhe. Ally Kessy  katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.
Naibu Waziri Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhe. Isack Kamwelwe  akimskiliza Mbunge wa Kasulu Mjini Mhe. Daniel Nsanzugwako  katika kikao cha hamsini na nne  cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 23, 2017.

Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA

No comments: